TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, July 31, 2012

NAPE, BENDERA WAONGOZA MAZISHI YA MBUNGE WA ZAMANI MOROGORO‏

4:37 PM


Kina mama waombolezaji kwenye msiba wa Shaweji.

Nape akitoa salam za Chama kwenye msiba wa Mbunge wa zamani wa Kilosa na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM mkoa wa Morogoro, Alhaji Abdallah Shaweji, wakati wa mazishi ya kiongozi huyo, yaliyofanyika eneo la Wami-Dakawa, Wilaya ya Mvomelo mkoani Morogoro, jana, Julai 30, 2012. Shaweji alifariji dunia juzi.Wengine kutoka wa pili kulia ni mdogo wa marehemu, Bashir Kikolo na Mkt wa CCM Moro, Injinia Petro Kingu picha na madam mzee

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA