TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, July 8, 2012

Mbunge wa Kigoma Kaskazini(CHADEMA)Zitto Kabwe Atembelea Banda la PPF Kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Ya Sabasaba

1:41 PM
  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (katikati)akifurahia jambo na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe-CHADEMA, (kushoto), Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam na kulia ni Meneja Mahusiano ya Umma PPF,Lulu Mengele.
   Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (kulia) akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe-CHADEMA (kushoto), Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.
  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (kulia)akimsikiliza kwa makini  Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe(CHADEMA)kushoto, Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.
  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (kulia) akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini(CHADEMA) Zito Kabwe (kushoto), Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA