TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, July 7, 2012

MABONDIA FRANCIS CHEKA NA JAPHET KASEBA WAPIMA UZITO KWA PAMBANO LA KESHO

12:31 PM
Bondia Japhet Kaseba akipima uzito.
Francis Cheka nae akipima uzito wake.
Mabondia hao wakitunishiana misuli.
 
 ...Wakiwa tayari kwa mpambano wa kesho.
Cheka akipimwa mapigo yake ya moyo.
...Kaseba nae akipimwa.
---
Mabondia Francis Cheka na Japhet Kaseba leo wamepima uzito wao tayari kwa mpambano wa kesho katika Tamasha la Matumaini litakalofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabondia hao wamepima uzito wao katika hoteli ya The Atrium iliyopo Sinza, Afrika Sana jijini Dar es Salaam ambapo kila mmoja amemtambia mwenzake kuwa ataibuka kidedea katika pambano hilo.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA