![]() |
| Wanafunzi kutoka vyuo mbali mbali wakifuatilia kwa umakini hoja mbali mbali kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba |
![]() |
| Naibu Katibu wa tume ya mabadiliko ya katiba akifafanua Nd.Casmir S. Kyuki akisisitiza umuhimu wa vijana wasomi katika mchakato huu wa Katiba |
![]() |
| Mh.Joseph Sinde Warioba akifunga Kongamano la Katiba lililoratibiwa na TAHLISO. |
![]() |
| Hassan A. Haji kutoka ofisi ya Mwanasheria Mkuu ZNZ (TUME) akijibu baadhi ya hoja zilizoletwa na wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya juu. |
![]() |
| Dk.Harrison Mwakyembe ,Mwenyekiti wa kongamano la Katiba akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mh. Joseph Sinde Warioba |





0 comments:
Post a Comment