TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, July 9, 2012

DR. ASHA-ROSE MIGIRO KUWASILI LEO ALASIRI, VIONGOZI WA UN TANZANIA KUMPOKEA AIRPORT.

6:28 PM
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliyemaliza muda wake Dr. Asha-Rose Migiro anawasili leo na ndege ya Emirates na atapokelewa na viongozi wakuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa waliopo Tanzania, wakiongozwa na Mratibu Mkaazi wa Umoja wa Mataifa Tanzania, Dkt. Alberic Kacou.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA