
Meya wa manispaa Mh. Anathory Amani akimkalibisha Mh. Waziri Wa Maliasili na Utaliii Balozi Kagasheki

Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mama Cositancia Buhiye akimkaribisha Mh. Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Hamis Sued Kagasheki

Sheikh wa Wilaya ya Bukoba Sheikh Haruna kichwabuta akimsakimia Mh. Waziri Balozi Kagasheki

mapokezi nje ya uwanja wa ndege

Waziri
wa Maliasili na Utalii Balozi Hamis Sued Kagasheki akisalimiana na
watu mbalimbali waliofika kumlaki mara baada ya kuwasili Bukoba
0 comments:
Post a Comment