TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, June 21, 2012

MISA YA MAZISHI YA MAREHEMU PETER MWENGUO KUFANYIKA SAA SABA MCHANA KARIMJEE

11:29 AM




Taarifa zaidi kuhusu Misa ya mazishi  ya aliyekuwa Mkurugenzi mtendaji mstaafu wa Bodi ya Utalii nchini Tanzania Marehemu Peter Mwenguo itafanyika leo saa saba mchana tarehe 21/06/2012,  katika ukimbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, baada ya misa kutakuwa na kutoa heshima za mwisho hapohapo Karimjee na baadaye msafara utaelekea katika makaburi ya Kinondoni kwa mazishi

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA