TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, June 5, 2012

MAKAMU WA RAIS DK. GHARIB BILAL AKUTANA NA BALOZI WA SUNDA NA KUAGANA NA BALOZI WA MSUMBIJI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

9:39 PM
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam leo Juni 05, 2012 kwa mazungumzo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam leo Juni 05, 2012 kwa mazungumzo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania, Mhe. Amour Zacarias Kupela, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam leo Juni 05, 2012 kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Msumbiji nchini Tanzania, Mhe. Amour Zacarias Kupela, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam leo Juni 05, 2012 kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake nchini. Picha na Muhidin Sufiani-Ofisi ya Makamu wa Rais

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA