TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, June 9, 2012

BENDI YA MASHUJAA MUSICA WAFANYA MAKAMUZI NDANI YA BUSINESS CENTRE WAKIONGOZWA YA CHAZ BABA

5:14 PM



Kiongozi na mwimbaji wa Bendi  ya Mashujaa, Chaz Baba, akiimba jukwaani  jana usiku na kukonga nyoyo za mashabiki wake kwa nyimbo zake mpya ndani ya ukumbi wa Business Centre Maeneo ya makumbusho, wakati bendi hiyo ilipofanya onyesho lake katika ukumbi huo.
Mpiga tumba maarufu, aliyejiunga na Bendi ya Mashujaa, akitokea Twanga Pepeta, MCD,  akizicharaza tumba wakati wa onyesho hilo lililofanyika jana katika ukumbi huo. 
Rapa wa bendi hiyo akighani moja ya rap za bendi hiyo.
Wanenguaji wa bendi hiyo ya Mashujaa, wakishambulia jukwaa wakati wakicheza shoo ya pamoja katika onyesho hilo jana.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA