Kiongozi
na mwimbaji wa Bendi ya Mashujaa, Chaz Baba, akiimba jukwaani jana
usiku na kukonga nyoyo za mashabiki wake kwa nyimbo zake mpya ndani ya
ukumbi wa Business Centre Maeneo ya makumbusho, wakati bendi hiyo
ilipofanya onyesho lake katika ukumbi huo.
Mpiga
tumba maarufu, aliyejiunga na Bendi ya Mashujaa, akitokea Twanga
Pepeta, MCD, akizicharaza tumba wakati wa onyesho hilo lililofanyika
jana katika ukumbi huo.
Rapa wa bendi hiyo akighani moja ya rap za bendi hiyo.
Wanenguaji wa bendi hiyo ya Mashujaa, wakishambulia jukwaa wakati wakicheza shoo ya pamoja katika onyesho hilo jana.




0 comments:
Post a Comment