TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, June 5, 2012

Ajali yatokea Jijini Mbeya na kuua watu 13 na zaidi ya 20 kujeruhiwa Leo hii

9:36 PM



Basi aina ya Coaster lililo kuwa linatokea Mbeya kuelekea Kyela Muda mfupi baada ya Ajali kutokea

Gari la Mizigo ambalo limehusika na ajali hiyo likiwa pembeni muda mchache baada ya ajali hiyo kutokea

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Dr.Sankey akiongea na waandishi wa Habari akithibitisha vifo vya Abiria 13 na Majeruhi 20.

Akiwa tayari amepatiwa matibabu ni mmojawapo ya majeruhi walifikishwa hapo kupata huduma baada ya ajali .

Huyu ni mmojawapo wa majeruhi ambae aliumia akipata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya mara baada ya kufikishwa hapo kupata huduma.

Hawa ni baadhi ya Wanahabri waliofika Hospitali ya Rufaa Mbeya kufuatilia hali za majeruhi baada ya ajali hiyo kutokea leo hii Jijini Mbeya.
Picha zote na Mbeya yetu Blog.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA