![]() |
Safari na muziki wameruka na wametua kwa salama usalimin, wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa kwanza kulia, Nassari Joshua, Dogo Janja akiwa na Mhe. Peter Msigwa ndani ya Washington DC (Picha na Libe Mwangombe)
Ndani ya jiji la Washington Dc Wabunge Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waibuka jijini hapa kwa vishindo, huku Watanzania mbali mbali waishio nchini Marekani wakiwasuburi kwahamu siku ya Jumapili Mei 27, 2012,
Madhumuni ya mkutano huo ni kukutana na Watanzania wanaoishi Nchini Marekani kuzungumza juu ya mpango mzima wa maendeleo ya nchi yetu kwa jumla, mkutano huo utahudhuriwa na wabunge wa Chadema Leticia M Nyerere, Mhe. Zitto Kabwe, Mhe. Nassari Joshua Marufu Dogo Janja na Mhe. Mchungaji Msigwa. Bofya hapa >>>>
|
Saturday, May 26, 2012

0 comments:
Post a Comment