TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, May 3, 2012

" SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI"

4:21 PM
Ngoma Africa band yatoa salam za hongera kwa wanahabari


Bendi ya maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa band" aka FFU
yenye maskani yake nchini Ujerumani ,inatoa salam za hongera na pongezi nyingi
kwa wanahabari na vyombo vya habari vyote duniani,katika sherehe ya siku ya 
"uhuru wa vyombo vya habari" 3 Mai 2012,bendi hiyo inawapongeza wanahabari
na vyombo vyao,kwa kazi muhimu wanazofanya za kuwapasha habari walimwengu,
kwani mchango wa wanahabari katika kila jamii duniani,ni sawa na mbolea katka maisha 
ya kila siku,kwani maisha bila ya habari ,ni sawa miti bila mizizi,
Hongereni sana wanahabari na Wanalibeneke wote duniani.
FFU wa Ngoma Africa band sasa wanatamba song lao jipya
"Uhuru wa habari" wimbo ambao unasikika at www.ngoma-africa.com

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA