TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, May 10, 2012

RAIS WA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WATENDAJI WA WIZARA YA AFYA MJINI UNGUJA

11:25 PM


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya, katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Wizara hiyo, wakati alipokutana nao  Ikulu Mjini Zanzibar jana. Kushoto ni  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad. Picha  na Ramadhan Othman, IKULU.
Baadhi ya watendaji wa Idara mbali mbali za Wizara ya Afya, wakimsikiliza Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, alipokuwa akizungumza nao katika mpango wake wa kuzungumza na kila Wizara katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja jana.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA