TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, May 21, 2012

Mkutano wa Yanga SC Uliomtimua Mwenyekiti Wa Timu Hiyo Lyod Nchunga

4:38 PM

  Mwenyekiti wa Kamati ya Wazee wa Klabu ya Yanga, Ibrahim Akilimali akitangaza kumfuta Uenyekiti wa timu hiyo, Lyod Nchunga, wakati wa mkutano wa wanachama uliofanyika jana kwenye klabu hiyo, Mtaa wa Jangwani/Twiga jijini Dar es Salaam.
 Mmoja wa wanachama wa Yanga, anayeitwa Nyachia akionyesha kadi yake wakati wa kujisajili kuingia kwenye mkutano huo
 Wanachama wa Yanga wakishangilia tamko la kumg'oa Mwenyekiti wa Klabu hiyo Lyod Nchunga
 Tofauti na vikao vingine vya Yanga ambavyo hufanyika katika ukumbi wa  jengo la Klabu hiyo, mkutano jana unafanyika kwenye Uwanja nje ya jengo.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA