TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, April 27, 2012

Umoja wa mataifa wakemea S Kusini

11:51 AM
Umoja wa mataifa umelaani kitendo cha Sudan kusini kuteka machimbo ya mafuta ya Heglig katika mpaka wanaozozania na Sudan.
Katibu mkuu Ban Ki-moon amesema kuwa kitendo hicho ni uvunjaji wa sheria na kuitaka nchi hiyo kuondoa vikosi vyake mara moja.
Bwana Ban pia amekosoa serikali ya Khartoum na kuimauru kusitisha mashambulizi ya wanajeshi wake katika eneo hilo linalozozaniwa na nchi hizo.
Aliongeza kuwa pande zote mbili sharti ziache kuunga mkono majeshi dhidi ya upande mwingine.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA