TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, April 21, 2012

Tetesi: Mawaziri Nane Wajiuzulu Usiku Huu

8:34 AM

Habari za redio one ambazo zimethibitishwa na Katulanda Frederiki mwandishi wa Mwananchi aliye Dodoma zinasema mawaziri nane wameamua kuachia ngazi usiku huu.
Mawaziri hao ni; Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami, Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu, Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),George Mkuchika, Waziri wa Kilimo Chakula na Ushurika Jumanne Maghembe na Waziri wa Afya, Dk. Haji Mponda.Tutaleta habari hii uthibitisho usionamashaka utakapojulikana asubuhi

1 comments:

Anonymous said...

tunasubiri uthibitisho mkuu wa kitengo

Post a Comment

 
BONYA HAPA