TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, April 27, 2012

TANZANIA YETU NI LINI HATA TUTAZINDUKA?

5:14 PM
Huu ni mtaa sehemu ya makazi ya watu mji wa mysore India mji umepangiliwa vizuri na  barabara zote mtaani zina lami,swali langu ni kwamba viongozi wetu wa Tanzania walikua wapi miji yetu ipo ipo tuu.hakuna mpanglio toka tumepata uhuru mpaka tumesherekea miaka 48 ya mungano.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA