Mara nyingi tunapo pata ajali tu na kupoteza baadhi ya viuingo vya miili yetu tua mlalamikia sana Mungu.Lakini kuna wengine wanatamani hata huo mguu/mkono mmoja ungekuwa nao.
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo,...Nick Vujicic (Tamka Nick Voicheech) alizaliwa bila mkono wala mguu,...alimshukuru Mungu ingawa alipitia mengi sana hadi kuwa hapo alipo leo.
Ni motivational speaker,ametoa dvd yake inaitwa "No arms,no legs,no worries" ni nzuri sana. Ina kupa moyo wa kusonga mbele na kuto choka katika kila hali.
itafute You Tube na umshukuru Mungu kwa kukupa miguu na mikono
|
0 comments:
Post a Comment