TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, March 29, 2012

UN YAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA WAHANGA WA BIASHARA YA WATUMWA KWA KUTOA ELIMU KWA WANAFUNZI.

8:42 PM
Wanafunzi wakishangaa kisima cha maajabu. Ksima hicho kiliaminika kuwa cha maajabu baada Serikali kuwahi kuchota takribani Lita 10,000 za maji lakini kiwango cha maji hayo hakikupungua.

Mtaalamu wa Mambo ya Kale Bw. Jumanne Majige akitoa maelezo kwa wanafunzi.  
Bi. Harriet Macha kutoka Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) akifafanua lengo la ziara hiyo ambapo amesema ni muhimu kwa wanafunzi na vizazi vijavyo kujua historia na madhara yaliyotokana biashara ya utumwa. Katika kuadhimisha kumbukumbu ya biashara ya utumwa duniani Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa kimegharamia ziara ya wanafunzi kutoka shule tatu jijini Dar es Salaam kwenda kutembelea kituo cha Kihistoria cha Kaole kilichopo Bagamoyo. 

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA