Wanafunzi wakishangaa kisima cha maajabu. Ksima hicho kiliaminika kuwa cha maajabu baada Serikali kuwahi kuchota takribani Lita 10,000 za maji lakini kiwango cha maji hayo hakikupungua.
|
| Mtaalamu wa Mambo ya Kale Bw. Jumanne Majige akitoa maelezo kwa wanafunzi. |
0 comments:
Post a Comment