TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, March 21, 2012

Share to Facebook MAR 20 Mfuko Wa Afya Nchini Wamtunuku Tuzo issa Michuzi

2:41 PM
Issa Michuzi akionesha tuzo yake muda mfupi baada ya kutunukiwa na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Lucy Nkya .
Mmiliki wa Blog maarufu ya Michuzi, Muhidin Issa Michuzi, akipatiwa tuzo na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Lucy Nkya baada ya kuwa mmoja wa mashujaa waliosaidia mfuko huo kusonga mbele, Hivi sasa Issa Michuzi ni Mwandishi wa Habari Msaidizi wa Rais.Picha na Mdau Richard Mwaikenda

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA