Mkurugenzi wa Alliance One Tanzania Ltd Bw. Mark Mason akizugumza katika mkutano na wahariri wa vyombo mbali mbali vya habari jijini Dar es Salaam. Mkutano huo uliandaliwa kwa ajili ya kuwapa taarifa juu ya maendeleo ya tumbaku na mambo mbali mbali wanayoyafanya katika kuisaidia jamii. Kampuni hiyo inafanya shughuli za Tumbaku huko Kinglowila, Morogoro.
0 comments:
Post a Comment