Nassari akiwa karibu na helkopta,usafiri anaoutumia kwenye kampeni zake.Anafanya mikutano mitano hadi sita kwa siku
Mwenyekiti wa Chadema, Mbunge wa Hai na Kiongozi Mkuu wa Kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh.Freeman Mbowe akimuombea kura Nasari
Mzee maarufu wa CCM aliyerejesha kadi na kujiunga CHADEMA akimnadi Joshua Nassari
Mgombea wa kiti cha ubunge jimbo la arumeru mashariki(Chadema) Joshua Nassari akiomba kura katika kijiji cha Nshupu jana
Mgombea wa kiti cha ubunge jimbo la arumeru mashariki(Chadema) Joshua Nasari akisalimia watu baada ya mkutano
Nasari(katikati) akisindikizwa kwenye helkopta.Kushoto ni Kamanda Renatus Mrashani katibu wa CHADEMA mkoa wa Dar es salaam,na kulia ni kamanda Jackson Makala.Picha na Jacson W. Makala-Arumeru
|
0 comments:
Post a Comment