TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, March 4, 2012

Benki ya Posta Tanzania Yatoa Msaada Wa Millioni 5 Kwa Shule ya Chumbuni Zanzibar

12:38 PM

Benki ya Posta Tanzania imekabidhi sh.milioni 5 kwa shule ya Chumbuni Zanzibar ukiwa ni msaada wa kununulia madawati kwa shule hiyo. Pichani Meneja mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi (kushoto) akikabidhi mfano wa hudi kwa Naibu Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Pereira Ame Silima katika sherehe iliyofanyika kwenye shule hiyo  jana.Picha na Martin Kabemba

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA