Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimia na Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil Antonio de Aguiar kabla ya mazungumzo yao kwenyeOfisi za Wazira ya Mambo ya Nje wa nchihi hiyo katika ofisi zilizoko Brasilia, October 10,2011.
Waziri Mkuu, Mizedngo Pinda kiongozwa kuingia kwenye Ofisi za Wazra ya Mambo ya Nje ya Brazil jijini Brasilia kukutana na Waziri wa Mambo ya nje wa nchi hiyo, Antonio de Aguiar, (hayupo pichani) October 10,2011.
(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 comments:
Post a Comment