Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akipokea risala kutoka mwanafunzi Ali
Omar Ali,kwa niaba ya wanafunzi bora wa kidato cha nne na
sita,waliofanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka
2010-2011,alipowapongeza ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein,akizungumza na walimu na wanafunzi bora wa kidato cha nne na
sita,waliofanya vizuri katika masomo yao kwa mwaka
2010-2011,alipowapongeza ikulu Mjini Zanzibarleo.
Baadhi
ya wanafunzi bora wa kidato cha nne na sita,waliofanya vizuri katika
masomo yao kwa mwaka 2010-2011,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar,Dk Ali
Mohamed Shein,alipozungumza nao katika hafla ya kuwapongeza kutokana na
kufaulu vizuri katika mitihani yao,huko Ikulu Mjini Zanzibar leo. Picha
na Ramadhan Othman Ikulu.



0 comments:
Post a Comment