| Askari
wa Usalama barabarani akikagua ajali iliyotokea mapema jana maeneo ya
Changalawe,Mafinga mkoani Iringa,katika ajali hiyo mtu mmoja (tino wa
lori) alifariki dunia papo hapo,Lori hilo pichani lilikuwa limebeba
shehena ya bidhaa (Mafuta & Sabuni ) mali ya kampuni ya BIDCO ya
jijini Dar Es Salaam. |
0 comments:
Post a Comment