TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, April 21, 2011

TANZANIA NA UAE WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO

4:27 PM
Balozi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe na Waziri wa Mambo ya Nje wa  Falme za Kiarabu (UAE), Shaikh Abdullah bin Zayed Al Nahyan, wakitia saini mkataba wa kuanzisha Tume ya Pamoja ya Ushirikiano baina ya nchi hizo, mjini Dubai  ambako Waziri Membe  alihudhuria Mkutano wa kupanga mikakati ya kukabiliana na maharamia wanaoteka meli baharini. Wengine ni Balozi wa Tanzania UAE, Mohammed Maharage (wa pili kulia nyuma), na Baraka Luvanda ambaye ni Ofisa kutoka Kitengo cha sheria, Wizara ya Mambo ya Nje.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA