Baadhi
ya wachezaji wa Darts toka nchi za Kenya na Uganda pamoja na Tanzania
wakiwa na Katibu mkuu wa mchezo wa Darts Taifa,Mohamed Bitegeko (pili
kulia) huku wakiwa wamevizunguka vikombe vitakavyokabidhiwa kwa washindi
wa mchezo katika fainali zinazoendelea kufanyika hivi sasa kwenye
ukumbi wa Moshi Bar,Manzese Tiptop.
Mwanamama
Dinah Amoding kutona nchini Uganda akirusha Datr kwenye fainali za
mchezo huo kwa upande wa Afrika Mashariki,zinazoendelea jioni hii katika
ukumbi wa Moshi Bar,Manzese Tiptop jijini Dar.
Baadhi ya wachezaji na watazamaji wa fainali za mchezo wa Darts wakifuatilia kwa makini mchezo huo.picha na othman michuzi


0 comments:
Post a Comment