
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na wanamichezo wa Timu za
Ikulu ya Zanzibar na Ikulu ya Dar es Salaam,wakati timu hizo
zilipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuonana na Rais,ambapo zitakuwa na
mapambano mbali mbali,katika kukuza ushirikiano wa pamoja.

Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na wanamichezo wa Timu
za Ikulu ya Zanzibar na Ikulu ya Dar es Salaam,wakati timu hizo
zilipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuonana na Rais,ambapo zitakuwa na
mapambano mbali mbali,katika kukuza ushikiano wa pamoja. .

Wanamichezo
wa Timu za Ikulu ya Zanzibar na Dar es Salaam wakimsikiliza Rais wa
Zanzibar Dk ALi Mohamed Shein,akiwaaidhi walipofika Ikulu Zanzibar
leo.Picha na Ramadhan Othman,
IKulu,Zanzinbar.
0 comments:
Post a Comment