| CCM-tawi la Mysore limezindua rasmi Tawi lake tar 20/5/2008,uzinduzi huo
uliofanywa na Mh.Samuel John Sitta, Spika wa Bunge la jamhuri ya
Muungano,spika alifurahishwa na vijana kuonyesha kupenda nchi yao na
kusisitiza lazima wajitambue na wajue umuhimu wa kuongoza chi kwa
kufuata taratibu na sheria,na wakati huo huo mjumbe wa Nec Taifa kaka
Nape m.Nnauye alisisitiza kuwa vijana sasa wanaamka na wanatambua ukweli
kuhusu nchi yao ,pia alikemea kuhusu ufisadi na kumwambia spika vijana
wanelewa kila kinachoendela na pia wamefurahishwa na Spika kuwa makini
na kazi yake .PICHA NA MAKTABA |
0 comments:
Post a Comment