TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, April 17, 2011

Man U Chaliiiiiiiiii!!, Yalala 1-0 kwa Man City

12:04 AM
Yaya Toure wa Manchester City akisherehekea goli lake baada ya kuwasambaratisha Man U katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA linalofadhiliwa na  E.ON mchezo ambao ulifanyika katika uwanja wa Wembley Stadium.

Pichani referee Mike Dean akimtoa kwa kadi nyekundu Paul Scholes baada ya kumfanyia madhambi Pablo Zabaleta wa Manchester City.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA