TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Friday, April 22, 2011

KATIBU KATA WA CCM AUWAWA KINYAMA IRINGA.

3:16 PM



mwili wa katibu kata wa chama cha mapinduzi (CCM) kata ya Mgama wilaya ya Iringa vijijini Patrick Ng’ara ukiingizwa chumba cha maiti Hospitali ya mkoa wa Iringa asubuhi hii,katibu huyo ameuwawa na majambazi akiwa nyumbani kwake jana usiku
Mbunge wa jimbo la kalenga Dr.Wiliam Mgomwa (katikati) akiwa na viongozi wa CCM nje ya chumba cha maiti
katibu wa CCM wilaya ya Iringa Mohamed Dhikri akiwasiliana na viongozi wengine kuwapa taarifa ya kifo hicho ,hapa ni nje ya chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya mkoa wa Iringa
katibu wa mbunge wa jimbo la Isimani Bw Thom Malenga (kulia) akiwa na dereva wa katibu wa CCM wilaya Bw.Ally nje ya chumba cha maiti Hospitali ya mkoa wa Iringa.picha na francis gogwin iringa.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA