Askari
wa Ulinzi wa Kituo cha Mafuta cha Big Bon Kariakoo, wakimuweka chini ya
ulinzi kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake, aliyekamatwa baada
ya kumchalaam leo mchana. Wananchi wenye hasira kali walimuadhibu kijana huyo kwa kumpiga na mawe, virungu na kusababisha kutokwa nomolea simu ya mkononi, mwanamama aliyekuwa katika harakati za
kugombea usafiri katika Kituo cha Msimbaji Dar es Sa damu mdomoni.
Hapa ni raia wakitoa kipigo cha mbwa mwizi kwa kijana huyo, nyuma yake
ni mwanamama ambaye kwa kweli sikuweza kujua alichokuwa akikifanya nyuma
ya kijana huyu, sijuli alikuwa akimsachi ama vipi.
0 comments:
Post a Comment