TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, March 7, 2011

WANAODAIWA KULA DILI LA KUINGIZA NCHINI TANZANIA HEROIN ZA BILIONI 2.8 WATINGA MAHAKAMANI LEO

7:39 PM
RAIA wanne wa  kigeni, Dennis Okechukwu na Paul Obi wote  wa Nigeria, Stani Hycenth wa Afrika Kusini na Shoaib Muhammad Ayaz kutoka Pakistan wakitoka kusomewa  mashitaka ya kula njama na kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya sh. bilioni 2.8, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mjini Dar es Salaam, leo.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA