TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Monday, March 28, 2011

WAANDAMANA KUPINGA KUSITISHWA KWA HUDUMA YA KIKOMBE MBEYA

8:48 PM


Wakazi wa jiji la mbeya na vitongoji vyake na kutoka mikoa ya jirani Sumbawanga Iringa Songea  wakiandamana kuuelekea ofisi ya mkuu wa mkoa Mbeya kupinga kusitishwa kwa huduma ya matibabu ya magonjwa mbalimbali anayotoa kijana JAFARI WILLINA
Wananchi wakiwa ofisi ya mkuu wa mkoa mbeya wakiwasubiri wawakilishi wao kuwapatia majibu toka kwa mkuu wa mkoa 
Hii ndiyo barua ya kusitisha huduma ya tiba ya asili kwa kijana JAFARI WILLINA Iliyoandikwa na mganga mkuu wa halmashauri ya jiji la mbeya Dk Samweli Lazaro

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA