TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, March 17, 2011

STANBIC BENKI TANZANIA YATOA MSAADA KWA WAHANGA WA MABOMU GONGO LA MBOTO

6:17 PM
Mkuu wa Masoko wa Benki ya Stanbic Tanzania, Abdallah Singano
(kushoto) akikabidhi msaada wa mafuta ya kupikia, vyakula, nguo na
misaada mingine ya kibinadamu kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Leonidas
Gama kwa ajili ya waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto jijini Dar es
Salaam jana.Wa pili kulia ni Meya wa Ilala, Jerry Slaa na ofisa wa
benki hiyo, Kay Mbwambo

Mkuu wa Masoko wa Benki ya Stanbic Tanzania, Abdallah Singano
(kushoto) akikabidhi msaada wa mfuko wa unga wa mahindi, mafuta ya
kupikia, vyakula, nguo na misaada mingine ya kibinadamu kwa Mkuu wa
Wilaya ya Ilala, Leonidas Gama kwa ajili ya waathirika wa mabomu ya
Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam jana.Wa pili kulia ni Meya wa
Ilala, Jerry Slaa na ofisa wa benki hiyo, Kay Mbwambo.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA