Mkuu wa Masoko wa Benki ya Stanbic Tanzania, Abdallah Singano
(kushoto) akikabidhi msaada wa mfuko wa unga wa mahindi, mafuta ya
kupikia, vyakula, nguo na misaada mingine ya kibinadamu kwa Mkuu wa
Wilaya ya Ilala, Leonidas Gama kwa ajili ya waathirika wa mabomu ya
Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam jana.Wa pili kulia ni Meya wa
Ilala, Jerry Slaa na ofisa wa benki hiyo, Kay Mbwambo. |
0 comments:
Post a Comment