| KOCHA
Mkuu wa timu ya Taifa Jan Poulsen, akizungumza na waandishi wa Habari
kwenye Ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania ( TFF) wakati wa kutangaza
kikosi cha wachezaji wataocheza na timu ya Afrika ya Kati, katika
michuano ya kuwania kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika mwaka
2012, zitakazofanyika Ikweta ya Guinea na Gabon. Kulia ni Ofisa Habari
wa Shirkisho hilo, Boniface Wambura. |
0 comments:
Post a Comment