TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, March 6, 2011

MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE AKWAMA AKITEMBELEA WANANCHI

12:13 PM
Wananchi wa Mlangali jimbo la Ludewa wakisaidia kusukuma gari la mbunge wao Deo Filikunjombe ,gari hilo limekwama asubuhi hii wakati akielekea kusalimu msiba katika eneo hilo alilolala baada ya jana kukabidhi ahadi zake za bati na saruji pamoja na vifaa vya michezo kwa kata ya Mlangali

Gari ya CCM ikilivuta gari hilo la Mbunge Deo Filikunjombe   
                             PICHA NA FRANCIS GODWIN

1 comments:

Anonymous said...

kuna umuhimu wa katengeneza barabara?

Post a Comment

 
BONYA HAPA