Mbunifu
wa mavazi nchini,Mustafa Hassanali akiwashukuru wageni waalikwa
waliofika kwenye onyesho lake la MAMMA MIA,mara baada ya kumalizika kwa
onyesho hilo lililokuwa na lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya
kusaidia uzazi salama kwa akina mama ambalo limefanyika usiku wa kuamkia
leo kwenye Hoteli ya Moven pick jijini Dar es salaam na kushirikisha
wabunifu mbalimbali wa mavazi hapa nchini na wengine kutoka nchini
Uingereza.nyuma yake ni wanamitindo waliofanikisha onyesho hilo.









0 comments:
Post a Comment