TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, March 1, 2011

Mambo ya Nyama Choma Umasaini

11:52 AM

 Nyama ya Ng'ombe ambayo imechomwa na kuhifabdhiwa juu ya mti kusubiri walaji.
 walaji tulifika na kabla ya kupiga picha nilikatiwa mbavu nikajichana.
 Ulaji qwa nyama kwa Morani wa Kimaasai ni wa kijamaa, watu huzunguka duara na mwenye nyama hukaa kati kati kisha kumkabidhi mkubwa katika kundi hilo na kukata kata kwa wote.
 Hapa ndo nyama inakatwa katwa na kila mtu anapata kipande hadi nyama inakwisha.
Hapa tulisha shiba nyama na kupiga picha ya pamoja na vijana wa kimasaai kutoka kijiji cha Mabwegere, Wilayani Kilosa mkoani Morogoro.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA