TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, March 10, 2011

dr. bilal afungua kliniki ya watoto wenye ukimwi jijini mbeya

8:02 AM
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Kliniki ya watoto wenye Ukimwi iliyojengwa Jijijni Mbeya na Abbot Fund wa kwanza kushoto ni Waziri wa Afya,Mh. Dr. Hadji Mponda ,wa tatu kutoka kushoto ni Bw.Robert Scott, Naibu Balozi wa Marekani nchini, wa nne kutoka kushoto ni Bw. Andy Wilson, Makamo wa Rais wa Abbot Fund nchini Tanzania na watano kutoka kushoto ni Bw. Michael Mizwa,Makamo wa Rais Mwandamizi wa Taasisi ya Kimataifa ya ugonjwa wa Ukimwi kwa watoto nchini Marekani, picha kwa hisani ya Smiley Pool.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA