TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Saturday, March 5, 2011

Dkt Shein Ziarani Pemba kukagua miradi ya maendeleo

10:55 PM



Rais wa Zanzibar,Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi wa kiji cha gando,wilaya ya Wete alipotembelea maendeleo ya barabara Gando-Wete, inayojengwa na kampuni Mecco.
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na wananchi wa kijiji cha gando,wilaya ya Wete alipotembelea maendeleo ya barabara Gando-Wete, inayojengwa na kampuni ya Mecco.
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akipewa maelezo na Waziri wa mawasiliano na Miundombinu Mh. Hamad Masoud,alipotembelea kituo cha kampuni ya Mecco inayojenga barabara ya Gando-Wete mapema leo mjini humo. Picha na mdau Ramadhani Othman wa Ikulu Zanzibar.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA