IGP Mwema. Kuna taarifa zimetufikia kutoka jijini Arusha zinazotuhabarisha kuzuka tena kwa machafuko Jijini humo asubuhi ya leo baina ya wafuasi watiifu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)wanaompinga Meya wa jiji hilo dhidi ya Polisi ambao inasemekana kuwa wamewarushia waandamanaji mabomu ya machozi kwa lengo la kuwatawanya.
......Mjengwablog inafuatilia kwa kina taarifa hii ili iweze kukuletea habari kamili.
0 comments:
Post a Comment