TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, February 1, 2011

Mama Salma Kikwete katika kikao cha Wake wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika

6:16 PM
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akihudhuria mkutano wa mwaka wa wake wa marais na wakuu wa nchi za Afrika unaofanyika nchini Ethiopia tarehe 31.1.2011.
Mama Salma Kikwete akishauriana jambo na wasaidizi wake Bibi Neema Mhada (kushoto) na Ndugu Daud Nassib (katikati) wakati wa kikao wake wa Marais na wakuu wa nchi za Afrika.


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mke wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mama Yoo Soon-Taek muda mfupi kabla ya kuanza kikao cha wake wa Marais na Wakuu wa nchi za Jumuia ya Afrika (OAFLA) kinachofanyika Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 31.1.2011.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akibadilishana mawazo na Mama Callista Mutharika, mke wa Rais wa Malawi Mheshimiwa Bingu wa Mutharika wakati wa kikao cha wake wa marais wa Afrika huko Addis Ababa tarehe 31.1.2011.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA