TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Sunday, January 2, 2011

jumuiya ya wanafunzi wa acharya, bangalorewasherehekea mwaka mpya na watoto waliopelekwa india kwa matibabu ya moyo

9:01 PM

Baadhi ya wanafunzi wanaounda umoja wa TASAA (Tanzanian Students Association of Acharya) wakiwa wamemtembelea mtoto aliefanyiwa upasuaji wa moyo katika hospitali ya Apollo,Bangalore.
Wajumuiya wakikata keki ya kukaribisha mwaka mpya wa 2011 pamoja na watoto waliopo katika hospitali ya Apollo,Bangalore.
Baadhi ya wanafunzi wanaounda umoja wa TASAA (Tanzanian Students Association of Acharya) wakiwa pamoja na mmoja wa wagonjwa wa moyo aliopo katika hopitali ya Apollo,Bangalore nchini India wapotembelea kuwafariji wagonjwa hao.
picha ya pamoja.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA