Baadhi ya wanafunzi wanaounda umoja wa TASAA (Tanzanian Students Association of Acharya) wakiwa wamemtembelea mtoto aliefanyiwa upasuaji wa moyo katika hospitali ya Apollo,Bangalore.
Wajumuiya wakikata keki ya kukaribisha mwaka mpya wa 2011 pamoja na watoto waliopo katika hospitali ya Apollo,Bangalore.
Baadhi ya wanafunzi wanaounda umoja wa TASAA (Tanzanian Students Association of Acharya) wakiwa pamoja na mmoja wa wagonjwa wa moyo aliopo katika hopitali ya Apollo,Bangalore nchini India wapotembelea kuwafariji wagonjwa hao.
0 comments:
Post a Comment