Didier Drogba akiwa na wanamuziki waliotumbuiza katika mnuso huo
Didier Drogba na Fally Ipupa (shoto) na wageni kwenye mnuso
Mayenu kwa kwenda mbele
Fally Ipupa akionesha jinsi yenu linavyopigwa
Mshambuliaji wa Chelsea na Ivory Coast Didier Drogba akikaribisha wageni kwenye mnuso wa harambee ulioandaliwa majuzi na mfuko wake wa The Didier Drogba Foundation kwenye hoteli ya Grosvenor House jijini London Majuzi ambapo jumla ya pauni 500,000 za Uingereza zilipatikana kwa ajili ya ujenzi wa hospitali huko Abidjan. Nyota kibao wa soka na muziki walihudhuria, bila kusahau Globu ya Jamii iliyochanganyika na vyombo vingine vya habari kuripoti tukio hilo
Juu na chini ni baadhi ya vitu vilivyopigwa




0 comments:
Post a Comment