TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, December 22, 2010

HAMISI MA-SMS WA ZANTEL AWAVUTA WENGI KUJIUNGA NA MTANDAO HUU,ANUNULIA WATU VYAKULA

12:02 PM


Hamisi Ma-Sms wa Zentel (mwenye suti) akimzawadia kuku Bi Philibet Mvula (kushoto) zawadi ya kuku na vyakula vya sikukuu baada ya kukutana katika soko la Manispaa ya Iringa ,Zentel kupitia Promoshen ya Hamisi Ma-sms imeendelea kuhamasisha watanzania kujiunga na droo hiyo kwa kutuma Sms yenye neno Hamisi kwenda 15587 na kujishindia kati ya shilingi milioni 1 hadi 15
Hamisi Ma-sms akimtaka Bi.Philibet kueleza chochote anachotaka
Soko kuu la Manispaa ya Iringa ambalo leo neema imeshuka toka za Zentel hapa naona bora kujificha uso maana imekuwa nongwa (ni kama anasema vile Hamisi ma-Sms) wakati akitoka soko kuu la Manispaa ya Iringa








Mzee Abubakari akimwongoa Hamisi Ma-sms wa Zentel kwenda buchani kununuliwa nyama
Mzee Abubakari Mvulana wa Kibwawa Iringa mjini (kushoto) akieleza mahitaji yake kwa mzee wa ofa toka Zentel Hamisi Ma-sms (mwenye suti) akiwa na Deo Ringia mtaalam wa Bidhaa toka Zentel
Hamisi Ma-sms (mwenye suti) akiwa na Bi.Philibeta Mvula ambaye amebahatika kununuliwa vyakula pamoja na kuku wa Krismasi leo soko kuu la manispaa ya Iringa


Hamisi Ma-sms wa Zentel (Kushoto) akiwa na mwanamke mkazi wa Kihesa Ngome Bi Philibeta Mvula Deogratias Ligia ambaye ni mtaalamu wa bidhaa za Zentel
Manunuzi yakiendelea soko la manispaa ya Iringa na Hamisi Ma-Sms za Zantel
Hapa Hamisi Ma-sms akihesabu fedha kwa ajili ya malipo ya bidhaa mbali mbali alizomnunulia mwanamke mkazi wa Kihesa Ngome Bi.Philibeta Mvula ambaye kwa upande wake amepongeza kampuni hiyo ya Zentel kwa kumpa msaada huo wa msosi,

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA