TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Tuesday, December 7, 2010

FOR THE FIRST TIME IN H-TOWN

5:15 PM

,

Mwana mitindo maarufu kutoka Tanzania bibie Asia Idarous, atawasha moto mjini Houston pamoja na vitongoji vyake katika fashion show ya mavazi yake ya kukata na shoka siku ya December 25,2010.
Fashion show hiyo kabambe itaambatana na muziki mzito utakaoporomoshwa na Dj Luke kutoka DC & Dj Rex Houston.


Njoo ujionee vipaji na usanii katika fani ya mavazi pamoja na burudani ya muziki wa aina zote
old schoo,Hip hop,Reggae,BongoFlava,Bolingo,Kwaito,Chalanga,Soca Rhumba and Zouk.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA