TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Wednesday, November 3, 2010

RAS NAS NA SHOO YA KUMUENZI GREGORY ISAACS

3:13 PM



Ras Nas na skwadi yake watafanya shoo ya kumuenzi hayati Gregory Isaacs kwenye ukumbi wa Skuret jijini Oslo Jumamosi tarehe 06 Novemba. Kwa hivyo basi kaa tayari kuserebuka na muziki mseto wa reggae na bolingo kuanzia saa nne na nusu usiku. Safu ya Ras Nas inajumuisha Chuck Frazier (Texas), Uriel Seri (Ivory Coast), Larry Skogheim (Norway), Dag Pierre (Sweden) na Dj atakuwa Dj Geblik. Habari ndio hiyo!

Ukumbi: Skuret Konsertscene. Oslo, Norway
Anwani: Christian Krohgsgt. 2
Tarehe: Jumamosi 06 Novemba
Wakati: 22.30 Hrs

Asanteni,
Kongoi Productions
www.kongoi.com



0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA