TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU / ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT CHEAP RATES | CONTACT ME: kilinyepesi@gmail.com

 photo DTB_zps7bd2662d.jpg

 photo fl_zps09337f7a.jpg


Habari Mpya:
Thursday, November 11, 2010

Mama Salma Kikwete apokea zawadi kutoka Lindi

8:04 PM


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea zawadi ya jogoo aliyopewa na wazazi wa kijana Abbas Maluka wanaoishi katika kijiji cha Nangalu huko Lindi Vijijini. Abbas anasoma mwaka wa kwanza huko Dar es Salaam Institute of Technology (DIT). Mama Salma anamsaidia kijana huyo kumlipia ada ya chuo kutokana na wazazi wa Abbas kukosa uwezo wa kulipa. Makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi za WAMA tarehe 11.11.2010.

0 comments:

Post a Comment

 
BONYA HAPA